TANZANJA YATOA MISAADA JANGA LA KIMBUNGA FREDDY NCHINI MALAWI

Na Moreen Rojas Dodoma Serikali ya Jamuhuru ya Muungano wa Tanzania Imetoa misaada mbalimbali kwa nchi ya Malawi kufuatia nchi hiyo kukumbwa na janga la dhoruba la kimbunga kijulikanacho kama “Tropiki Freddy”. Mkurugenzi wa habari na uhusiano wa jeshi la ulinzi na uhusiano wa jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) Luteni Kanali Gaudentius